MIKAKATI YA KIDIJITALI: Mwongozo wa Sura 10 wa Kutawala Facebook, Instagram na WhatsApp
Original price was: TZs 15,000.TZs 6,000Current price is: TZs 6,000.
Bofya kitufe cha “Download Ebook Hapa” hapo chini. Utapelekwa moja kwa moja kwenye mfumo wetu salama wa malipo wa Selar, ambapo utalipia kwa urahisi ukitumia M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, HaloPesa au Kadi, na utakipokea kitabu chako papo hapo kwenye simu yako!
Katika ulimwengu wa sasa wa ushindani, uwepo wa biashara yako mtandaoni sio sifa tena—ni hitaji la lazima la kuishi na kukua. Kitabu hiki hakina maneno magumu ya kinadharia; kimejaa maelekezo ya “Bonyeza hapa, weka hapa” ili uone matokeo ndani ya siku 30 tu!
-
- Sura ya 1: Saikolojia ya Mnunuzi Mtandaoni na Mabadiliko ya Soko.
- Sura ya 2 & 3: Ubunifu wa Brand yako na Sanaa ya Instagram Reels.
- Sura ya 5: Mwongozo kamili wa kuseti Greeting Message na Away Message kwenye WhatsApp Business ili duka lako liwajibu wateja saa 24.
- SURA YA 6:Â Mkakati wa “WhatsApp Status” kwa Ajili ya “Retargeting”
- Sura ya 7: Sanaa ya Copywriting na Mifano 3 ya jumbe za matangazo (Ad Copies) kwa ajili ya biashara yako.
- Sura ya 8: Usanidi wa matangazo ya kulipia (Meta Sponsored Ads) hatua kwa hatua kuelekea WhatsApp.
- Sura ya 9 & 10: Mbinu za kufunga mauzo (Sales Closing) na Mpango kazi wa Siku 30.
Omary Mbaraka ni mtaalamu na mshauri wa masoko ya kidijitali nchini Tanzania, aliehitimu “Masters Course in Digital Marketing & Business” Kutoka Max Business School na Mmiliki na Mwanzilishi wa DIMABUE Branding Agency. Amesaidia wajasiriamali wengi kukuza biashara zao kwa kutumia mifumo ya kisasa ya mitandao ya kijamii.
Mchapaji Rasmi: DIMABUEÂ (Toleo la 2026)
🔒 Ununuzi wako ni salama 100%. Ukishalipa, utatumiwa faili la PDF la kitabu hiki kiotomatiki sekunde hiyo hiyo!



Reviews
There are no reviews yet.